Lekam Hotel

Lekam Hotel
lekam Hotel

Thursday, 9 August 2018

IPI YAFAA KUA SABABU SAHIHI YA KUPATA MWENZA


Karyn alikuwa akiongoza kongamano la ‘Grace for singles’, kongamano maalumu kwa ajili ya wasichana ambao hawajaolewa. Karyn ambaye...

Tuesday, 20 June 2017

Mbinu Tano za Kufanikiwa.

Watu wengi wamekuwa wakitafuta mafanikio maishani lakini tambua kwamba mafanikio ya kweli yatapatikana...

Tuesday, 16 May 2017

Mwanamke ajioa baada ya kukosa Mume.

May Chen mwenye umri wa miaka 28 kutoka Taiwan anaugua ugonjwa wa saratani ya matiti lakini...

Tuesday, 25 April 2017

Falsafa Tatu za Maisha.

Habari mpenzi msomaji wa TIFC Blog, na karibu katika makala ya leo. Leo tutazungumzia falsafa tatu katika maisha ambazo kila

Monday, 17 April 2017

Wednesday, 8 March 2017

Wanawake na Teknolojia.

Tarehe 8 mwezi wa 3 kila mwaka huazimishwa siku ya wanawake duniani.Katika kuthamini mchango wao wa maendeleo leo...

Friday, 3 March 2017

Mitandao ya kijamii na APP zinazo ongoza Dunian.

Inawezekana umekua ukitumia mitandao ya kijamii pamoja na Mobile App kwenye simu lakini...


Wednesday, 25 January 2017

Trump kuwafuta kazi mabalozi wa marekani.

Trump kawafuta kazi Mabalozi wote wa Marekani duniani



Kwa mujibu wa The Independent na ParsToday wanasema kuwa RaisDonald Trump wa Marekani amewafuta kazi mabalozi wote wa nchi hiyo kote duniani na wanaohudumu katika mashirika ya kimataifa ambapo uamuzi huo umefanyika katika siku yake ya kwanza kazini.

Tuesday, 3 January 2017

Usajili



Usajili wa wanachama wa TIFC

Baadhi ya wanachama waanzilishi wa TIFC Wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya zoezi la kusajili na kuandikisha wanachama wa TIFC.
Zoezi hilo lilifanyika mwishoni mwa mwaka 2016 ikiwa ni moja ya utaratibu wa kusajili wanachama wa umoja wetu.Tukio lingine la usajili litafanyika hivi karibuni Endelea kua nasi kwa habari na mambo mazuri hapa hapa....

Wednesday, 21 December 2016

Kukomesha Uhalifu

Majambazi Wawili Wauawa Jijini Mbeya 


Askari wa Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya wamefanikiwa kuzuia tukio la ujambazi katika mapambano ya kurushiana risasi na watu waliosadikiwa kuwa ni majambazi na kuua wawili kati yao.

Wednesday, 7 December 2016

Repoti ya chanzo cha kifo cha mchezaji wa mbao FC

Ripoti ya Madaktari kuhusu chanzo cha kifo cha mchezaji wa Mbao FC

Ripoti iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Dk. Thoma Rutta na kusomwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi inaeleza kuwa kusimama kwa moyo ghafla ndio chanzo cha kifo chipukizi wa Mbao FC ya Mwanza, Ismail Khalfan Mrisho.

Aweka Bango lakutafuta mke

Mzee wa Miaka 75 Aweka Bango la Mke Anayemtaka 

Kutoka Dar es salaam.

 

Katika  hali isiyo ya kawaida mzee mwenye umri wa miaka 75, Athuman Mchambua, mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam amezua gumzo mtaani  baada ya kuamua kutafuta mke kwa kuweka bango barabarani.

Saturday, 3 December 2016

Mtoto Atunukiwa PhD

MTOTO WA MIAKA 11 ATUNIKIWA PhD

WAHITIMU, viongozi na wageni waliohudhuria Mahafali ya 32 ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) mkoani Morogoro, waliingiwa na simanzi wakati mtoto, Tamar Aaron Mbogho (11), alipojitokeza na kupokea Shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD), akimwakilisha mama yake Swai Sophia Faustin ambaye alifariki dunia miezi sita kabla ya kufika siku ya mahafali.

Friday, 2 December 2016

Takwimu za VVU Tanzania.

Wanawake Waongoza Kuwa Na Virusi Vya Ukimwi Nchini

 Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO

Utafiti wa Viashiria vya Virusi vya UKIMWI (VVU) na Maralia (THMIS) wa mwaka 2011/2012 kwa upande wa Tanzania Bara vinaonyesha kuwa idadi kubwa ya wanawake wameambukizwa ugonjwa huo kuliko wanaume.

Thursday, 1 December 2016

Kutoka ilala

Baadhi ya wanakikundi cha TIFC pamoja na viongozi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kikao kikuu cha wanachama.

 Moja ya vikao vya kujadili na kuichambua katiba ya kikundi vikiwa vinaendelea huku wajumbe wakisikiliza kwa umakini mkubwa wachangia maada.

Kwenye picha ni baadhi ya wanachama waanzilishi wa TIFC kabla ya kikao.
Juhudi za kuandaa katiba ziliendelea vizuri huku kila mjumbe akichangia  mada hii inaonesha kua umoja wa TIFC una watu makini sana.