Thursday, 9 August 2018
Tuesday, 20 June 2017
Mbinu Tano za Kufanikiwa.
Tuesday, 16 May 2017
Tuesday, 25 April 2017
Falsafa Tatu za Maisha.
Habari mpenzi msomaji wa TIFC Blog, na karibu katika makala ya leo. Leo tutazungumzia falsafa tatu katika maisha ambazo kila
Monday, 17 April 2017
Wednesday, 8 March 2017
Wanawake na Teknolojia.
Friday, 3 March 2017
Wednesday, 25 January 2017
Trump kuwafuta kazi mabalozi wa marekani.
Trump kawafuta kazi Mabalozi wote wa Marekani duniani
Kwa mujibu wa The Independent na ParsToday wanasema kuwa RaisDonald Trump wa Marekani amewafuta kazi mabalozi wote wa nchi hiyo kote duniani na wanaohudumu katika mashirika ya kimataifa ambapo uamuzi huo umefanyika katika siku yake ya kwanza kazini.
Tuesday, 3 January 2017
Usajili
Usajili wa wanachama wa TIFC
Baadhi ya wanachama waanzilishi wa TIFC Wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya zoezi la kusajili na kuandikisha wanachama wa TIFC.
Zoezi hilo lilifanyika mwishoni mwa mwaka 2016 ikiwa ni moja ya utaratibu wa kusajili wanachama wa umoja wetu.Tukio lingine la usajili litafanyika hivi karibuni Endelea kua nasi kwa habari na mambo mazuri hapa hapa....
Wednesday, 21 December 2016
Kukomesha Uhalifu
Majambazi Wawili Wauawa Jijini Mbeya
Wednesday, 7 December 2016
Repoti ya chanzo cha kifo cha mchezaji wa mbao FC
Ripoti ya Madaktari kuhusu chanzo cha kifo cha mchezaji wa Mbao FC
Ripoti iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Dk. Thoma Rutta na kusomwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi inaeleza kuwa kusimama kwa moyo ghafla ndio chanzo cha kifo chipukizi wa Mbao FC ya Mwanza, Ismail Khalfan Mrisho.Aweka Bango lakutafuta mke
Mzee wa Miaka 75 Aweka Bango la Mke Anayemtaka
Kutoka Dar es salaam.
Katika hali isiyo ya kawaida mzee mwenye umri wa miaka 75, Athuman Mchambua, mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam amezua gumzo mtaani baada ya kuamua kutafuta mke kwa kuweka bango barabarani.
Saturday, 3 December 2016
Mtoto Atunukiwa PhD
MTOTO WA MIAKA 11 ATUNIKIWA PhD
WAHITIMU, viongozi na wageni waliohudhuria Mahafali ya 32 ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) mkoani Morogoro, waliingiwa na simanzi wakati mtoto, Tamar Aaron Mbogho (11), alipojitokeza na kupokea Shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD), akimwakilisha mama yake Swai Sophia Faustin ambaye alifariki dunia miezi sita kabla ya kufika siku ya mahafali.
WAHITIMU, viongozi na wageni waliohudhuria Mahafali ya 32 ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) mkoani Morogoro, waliingiwa na simanzi wakati mtoto, Tamar Aaron Mbogho (11), alipojitokeza na kupokea Shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD), akimwakilisha mama yake Swai Sophia Faustin ambaye alifariki dunia miezi sita kabla ya kufika siku ya mahafali.
Friday, 2 December 2016
Takwimu za VVU Tanzania.
Wanawake Waongoza Kuwa Na Virusi Vya Ukimwi Nchini
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Utafiti
wa Viashiria vya Virusi vya UKIMWI (VVU) na Maralia (THMIS) wa mwaka
2011/2012 kwa upande wa Tanzania Bara vinaonyesha kuwa idadi kubwa ya
wanawake wameambukizwa ugonjwa huo kuliko wanaume.
Thursday, 1 December 2016
Kutoka ilala
Baadhi ya wanakikundi cha TIFC pamoja na viongozi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kikao kikuu cha wanachama.
Moja ya vikao vya kujadili na kuichambua katiba ya kikundi vikiwa vinaendelea huku wajumbe wakisikiliza kwa umakini mkubwa wachangia maada.
Juhudi za kuandaa katiba ziliendelea vizuri huku kila mjumbe akichangia mada hii inaonesha kua umoja wa TIFC una watu makini sana.
Subscribe to:
Posts (Atom)













